December 14, 2013


NAHODHA WA YANGA, CANNAVARO AKIPAMBANA NA SHIBOLI



 
Yanga imetoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya KMKM ya Zanzibar katika mechi ya kirafiki iliyopigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Jerry Tegete ndiye aliifungia Yanga bao la kwanza katika dakika ya 43, Cannavaro akafunga la pili katika dakika ya 47 na Mbuyu Twite ndiye alimaliza mchezo katika dakika ya 83.
Mabao ya KMKM yalifungwa na Haji Simba katika dakika ya 69 na Shiboli aliyepiga shuti kali katika dakika ya 72 mbili baada ya kumzidi nguvu Juma Abdul.




SHIBOLI AKISHANGILIA BAO ALILOFUNGA

KMKM

SIMBA WAKIWAZOMEA WATANI WAO YANGA

YANGA







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic