December 12, 2013



 
MUSOTI (KULIA) AKIWA KAZINI WAKATI AKIICHEZEA GOR MAHIA
Beki Donald Musoti amekubali kutua kujiunga na klabu ya Simba ya Dar es Salaam.
Musoti aliyekuwa beki tegemeo wa kikosi cha Gor Mahia ya Kenya amesema kuwa yuko tayari kutua Msimbazi.
 
Taarifa zinaeleza tayari kuna kiongozi wa Simba yuko jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo na Musoti.
“Niko tayari kwenda Simba, lakini ni suala la mzungumzo, huenda leo tukakutana na kumalizana hivyo subiri kidogo,” alisema.
Kocha Zdravok Logarusic ndiye alitependekeza kusajiliwa kwa beki huyo aliyefanya naye kazi akiwa Gor Mahia.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic