December 28, 2013





Kocha aliyefutwa kazi wa Yanga, Ernie Brandts ameendelea kushinda ndani muda mwingi.
 
Brandts ambaye amekataa kuzungumzia masuala ya kufutwa kwake kazi amesema muda mwingi analazimika kubaki nyumbani.
“Ninakaa nyumbani tu nikiendelea na kazi nyingine, hivyo sasa siwezi kuzungumza lolote,” alisema.

Mholanzi huyo amefukuzwa kazi baada ya Yanga kufungwa kwa mabao 3-1 na Simba katika mechi ya kirafiki ya Nani Mtani Jembe.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic