Pamoja na kuwa na uwezo wa
soka la kuvutia, Swansea imeshindwa kufurukuta na kuchapwa bao 3-0 na Man City.
Mechi hiyo ya kuvutia
ilikuwa kutokana na Swansea kuonyesha soka safi lakini ikashindwa kufurukuta.
Mabao ya Man City yalifungwa
na Samir Nasri (dakika za 58&77) aliyepiga mawili lakini kabla Nagredo
alitangulia kufunga la kwanza katika dakika ya 8.
Sasa wamepanda hadi nafasi
ya tatu wakiwa na pointi zao 25, hali inayozidi kuongeza ushindani.
0 COMMENTS:
Post a Comment