December 15, 2013




Manchester United imeamka, imefanikiwa kuichapa Aston Villa kwa mabao 3-0.
 
Villa pamoja na kuwa nyumbani imekumbana na kipigo hicho huku United ikionyesha kuwa kwenye fomu leo.

Mabao ya United yamefungwa na Danny Welbeck aliyepiga mawili na Tom Cleverly akamalizia kazi.









Mechi nyingine ya mapema, Swansea ilijikuta ikiambulia sare ya bao 1-1 dhidi ya Norwich iliyokuwa nyumbani.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic