January 22, 2014



 
BABI AKIWA NA KIKOSI CHA UITM FC
Kikosi cha UITM  FC anachokichezea Abdi Kassim ‘Babi’ kimeanza vibaya michuano ya Kombe la FA nchini Malaysia baada ya kulala kwa mabao 3-2.
 
Mechi hiyo iliyochezwa jana, UITM FC ililala kwa mabao hayo huku Babi akiwa kati ya wachezaji wa kikosi cha kwanza.

Akizungumza mara tu baada ya mchezo huo, Babi aliyewahi kukipiga Mtibwa Sugar, Yanga na Azam FC alisema mechi ilikuwa ngumu.
“Nimefanikiwa kutoa pasi za mabao yote mawili, lakini jamaa walinibana ile mbaya. Pale katikati wana Wabrazil wanne, kwa hiyo haikuwa kazi lahisi,” alisema Babi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic