January 21, 2014



 
BABI AKIWA NA KIKOSI CHA UITM FC

Kiungo Abdi Kasim ‘Babi’ leo ataanza kuichezea timu yake ya UITM FC katika mechi ya Kombe la FA nchini Malaysia.

 
Babi amejiunga na UITM FC hivi karibuni akitokea KMKM ya Zanzibar.
Babi amesema anatarajia kufanya vizuri katika mechi hiyo ya kwanza ya Kombe la FA.
“Leo kwa mara ya kwanza natarajia kuichezea timu yangu katika Kombe la FA,” alisema Babi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic