January 23, 2014





Ndani ya muda mchache imeelezwa klabu ya Simba itamtangaza Ezekiel Kamwaga kuwa katibu mkuu mpya.


Kamwaga atachukua nafasi iliyoachwa na Evodius Mtawala ambaye amepata ajira mpya kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
ASHA MUHAJI AKIWA NA KOCHA MSAIDIZI WA SIMBA, SELEMANI MATOLA
 Pamoja na hivyo imeelezwa nafasi ya Ofisa Habari wa Simba, imechukuliwa na mwandishi mkongwe, Asha Muhaji.

Muhaji alikuwa mhariri msaidizi wa gazeti la Bingwa na inaelezwa kuwa atatangwaza pamoja na Kamwaga.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic