January 30, 2014


Libya imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Chan linaloendelea nchini Afrika Kusini.


Libya imetinga fainali baada ya kuifunga Zimbabwe kwa mikwaju 5-4 ya penalti.
Timu hizo zilikwenda sare katika dakika 90 na baadaye 30 za nyongeza.

Libya inasubiri mshindi kati ya Nigeria na Ghana katika nusu fainali ya pili inayoendelea ili kupata mpinzani wa fainali, Jumamosi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic