January 29, 2014


Kiungo mpya wa Man United, Juan Mata ameanza vizuri kwa kuingoza timu yake mpya ushindi wa mabao 2-0.


Mata ametoa mchango mkubwa lakini cha kukumbukwa zaidi ni pasi yake ya bao la pili lililofungwa na Ashley Young.
Kabla ya hapo, Robin van Persie aliyekuwa amerejea akitokea kuuguza majeraha, alifunga mapema bao la kwanza.

Baadaye van Persie alitoka na nafasi yake kuchukuliwa na Wayne Rooney ambaye pia alikuwa majerudi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic