January 29, 2014


Arsenal imeponea chupuchupu baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 na Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu England uliomalizika punde.

Katika mechi hiyo ambayo Arsenal walionekana kuwa na mwendo wa taratibu sana, mabao yao yalifungwa na Olvier Giroud na Santi Cazorla, wakati Southampton waliocheza vizuri zaidi yalifungwa na Jose Miguel na Adam Lallana.

Kiungo Mathieu Flamini alilambwa kadi nyekundu katika dakika ya 80 na kusababisha Arsenal ishambuliwe muda wote hadi mpira unakwisha.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic