January 31, 2014


Robin van Persie ameonekana akijaza mafuta ya kutosha kwenye gari lake.

Baada ya hapo akaingia na kutokomea kusikojulikana, tayari hali hiyo imezua hofu, kwamba anakwenda wapi.

Taarifa zimekuwa zikieleza je, ni kweli hana furaha? Na atataka kuondoka kabla ya dirisha la usajili linalofungwa leo saa sita usiku.
Bado kuna maswali, maana Man United imewapeleka kwa mkopo wachezaji wawili, Wilfred Zaha aliyetua Cardiff na Anderson ambaye amekwenda Fiorentina hadi mwisho wa msimu.
Lakini imemuuza Fabio jumla kwa Cardiff, je, itaongeza mtu zaidi ya Juan Mata iliyomnunua kutoka Chelsea kwa kitita cha pauni milioni 37.1. tusubiri.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic