January 10, 2014


Azam FC imeng’olewa kwenye michuano ya Mapinduzi kwa kuchapwa kwa mabao 3-2 na KCC ya Uganda.

Kipigo hicho katika hatua ya nusu fainali, kimeing’oa na kuivua ubingwa wa michuano hiyo.
Azam FC ambao ndiyo walikuwa mabingwa watetezi walishindwa kuonyesha cheche na kuwapa nafasi Waganda kutawala zaidi mchezo huo.

KCC sasa inasubiri mshindi kati ya Simba na Waganda wenzao URA kupata watakayecheza naye fainali.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic