January 27, 2014


Nahodha wa Barcelona, Xavi amesherekea mechi yake ya 700 akiwa na timu hiyo na kusema ataendelea kubaki Barca hadi atakapostaafu.


Xavi amesema hadithi za kwamba anakwenda New York nchini Marekani au anafuata mamilioni ya fedha nchini Qatar, haziko kaika mawazo yake.
“Nataka kubaki hapa hadi nitakapomaliza mkataba wangu,” alisema Xavi kabla ya mechi dhidi ya Malaga ambayo ingekuwa ni ya 700 kwake akiwa na Barca.
Baada ya mechi hiyo, alisifia kiwango walichokionyesha na kuibuka na ushindi wa mabao 3-0, lakini pia akasisitiza kwamba watamheshimu rais wa Barcelona,
Rosell aliyeachia ngazi na kumtakia kila la kheri.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic