January 28, 2014


Kiungo wa ulinzi wa timu ya Young Africans Athuman IddI Athuman ‘Chuji’ amerejeshwa kundini kuungana na wachezaji wenzake baada ya awali kuwa amesimamishwa na uongozi kutona na kitendo cha utovu wa nidhamu aliouonyesha mwishoni mwa mwaka jana.
Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto amethibitisha hilo. Chuji alisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic