February 1, 2014


Man United imezidi kudidimia baada ya kuaziacha pointi tatu ugenini dhidi ya Stoke City.


Katika mechi hiyo ya Ligi Kuu England, Man United imechapwa bao 2-1, mfungaji wa mabao yote ya Stoke akiwa ni Adams.


Bao pekee la Man United limefungwa na van Persie ambaye alipokea pasi ya Mata.
Hali hiyo inazidi kumuweka katika wakati mgumu Kocha David 'Daudi' Moyes ambaye mambo yake yamekuwa yakienda kwa kusuasua.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic