February 1, 2014


Kocha wa Taifa Stars na Kili Stars, Kim Poulsen leo alikuwa uwanjani kushuhudia mambo ya wachezaji kadhaa lakini atakuwa amefurahishwa zaidi na Ramadhani Sinagano ‘Messi’ na Jonas Mkude.

Singano hakufunga, lakini pilika zake zilikuwa zaidi ya hatari, lakini Poulsen akamsuhudia kiungo Mkude akipiga bonge la bao.

Maana yake ameona mengi, lakini vijana hao wawili wa Simba, lazima watakuwa wamemkuna kocha huyo aliyekuwa uwanjani na meneja wake, Tasso Mukebezi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic