February 1, 2014


Siku moja tu baada ya kutoa kauli kwamba hamjui wala kumhofia hata kidogo, Kipre Tchetche wa Azam FC, mshambuliaji Amissi Tambwe wa Simba ameonyesha alisema anachokiamini.


Leo amefanikiwa kufunga mabao matatu katika mechi dhidi ya Oljoro na kufikisha mabao 13.
Kipre alimfikia Tambwe kwa kufunga bao la 10 baada ya kufunga bao pekee wakati Azam FC ilipoichapa Rhino 1-0, juzi.


Lakini Tambwe akaiambia SALEHJEMBE, “hamjui wala hababaiki” na leo hilo limethihirika kwa kupiga hat trick.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic