Beki wa kati wa Barcelona, Gerard Piqué
amesema anaumizwa na kukaa nje wakati timu yake ikipambana kurejea katika hali
nzuri.
Pique amesema alifikiri alikuwa katika
wakati mzuri wa kuisaidia Barcelona lakini analazimika kuwa mtazamaji.
“Mguu wangu wa kulia umekuwa na
maumivu hapa kwenye ‘kiazi’, lakini naona kama nilistahili kuwepo kusaidia.
“Lakini daktari ameniambia naweza kuwa
dimbani katika mechi ya marudiano na Manchester City,” alisema.
0 COMMENTS:
Post a Comment