June 15, 2014



Katibu mkuu wa zamani wa Yanga, George Mpondela amefariki dunia.


Taarifa zinaeleza Mpondela aliyekuwa maarufu kama Castro amefariki dunia leo kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Uongozi wa Yanga umedhibitisha kuhusu kifo cha Mpondela ingawa imeelezwa taarifa rasmi itatolewa na familia yake jijini Dar es Salaam ili watu wajue wapi ulipo msiba na taratibu za mazishi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic