Uongozi wa klabu ya
Barcelona, umeamua kumtuma mmoja wa madaktari wake kwenda nchini Brazil kuunga
na Neymar ambaye ni majeruhi.
“Huu ni wakati mzuri wa
kuwa naye karibu, daktari wetu atakuwa pamoja na madaktari wa Brazil na kujua
maendeleo yake na kama itawezekana kuwa naye mwanzoni mwa msimu wa La Liga au
la.
“Tumekuwa na mawasiliano
mazuri na CBF, wametuambia anaendelea vizuri na tayari yuko nyumbani,” alisema
bosi huyo.
Neymar aliumia katima
mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kurukiwa na beki Zunuga wa
Colombia.
0 COMMENTS:
Post a Comment