Hull City imemnasa
mshambuliaji kinda wa miaka 22, ambaye ni mtoto wa kiungo nyota wa zamani wa
Manchester United, Paul Ince.
Tom Ince amesaidini mkataba
wa miaka miwili na Hull City ambayo inanolewa na beki wa zamani wa Man United,
Steve Bruce.
Awali ilielezwa kuwa
angeenda Inter Milan ya Italia ambayo mazungumzo yalifikia pazuri, lakini
mshambuliaji huyo aliyekuwa anakipiga Blackpool aliamua kubaki England.
0 COMMENTS:
Post a Comment