MATOLA, MMOJA WA MAKOCHA WAZALENDO WANAONG'ARA. |
Kozi ya ukocha wa Leseni A inayotambuliwa na
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) itafanyika mara ya kwanza nchini,
jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 4 mwaka huu.
Mkufunzi wa kozi hiyo itakayofanyika Uwanja wa
Kumbukumbu ya Karume atatoka CAF, na itamalizika Septemba 8 mwaka huu wakati
ada ya ushiriki ni sh. 300,000.
0 COMMENTS:
Post a Comment