September 2, 2014

BIN KLEB (KUSHOTO) AKIWA NA NIYONZIMA.

Mmoja wa wanachama maarufu wa Yanga, Abdallah Bin Kleb amefunguka kuhusiana na suala lake la kutokuwa kwenye kamati za Yanga hadi aliporejeshwa siku chache zilizopita.


“Nilimuomba Yusuf (Manji) asiniweke kwenye kamati yoyote kwa kuwa nilikuwa nimebanwa na majukumu yamenibana.
“Lakini baadaye niliombwa kurejea tena kwa lengo la kushirikiana,” alisema akifafanua.
Awali kulikuwa na taarifa kwamba Bin Kleb aliachwa kwenye kamati za Yanga kutokana na kutoelewana na Manji.
Hata hivyo ilifafanuliwa na viongozi wa Yanga kuhusiana na ombi lake la kuomba aachwe nje ya kamati hizo kutokana na kubanwa na majukumu.

Lakini sasa Bin Kleb amefunguka mwenyewe na kuweka mambo hadharani akimaliza ubishi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic