September 7, 2014


Baada ya kuvunjwa kwa mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Big Bullets ya Malawi, juhudi za kuipata Gor Mahia zilianza.

Lakini hadi hadi dakika 20 zilizopita zimeeleza benchi la Gory a Kenya ambayo jana ilichapwa na Simba mabao 3-0, nayo imegoma kucheza na Yanga.
Juhudi za kumshawishi kocha ambaye ni mpya zimeshindikana kutokana na kipigo alichokipata jana.
Kutokana na hali hiyo, Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameamua kuvunja kambi.
“Kweli kambi imevunjwa na sasa ninazungumza na wewe niko nyumbani,” alisema mmoja wa wachezaji wa Yanga.

Waandaaji wa mechi dhidi ya Yanga dhidi ya Big Bullet ya Malawi, Chama cha Soka Tanzania (DRFA), hadi sasa bado hawajaweka mambo hadharani kuhusiana na kuvunjwa kwa mechi hiyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic