September 2, 2014


Vigogo wa Kenya, Gor Mahia wanakuja nchini kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Simba, Jumamosi.


Simba watawavaa Wakenya hao Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ikiwa ni mechi ya kwanza ya Kocha Patrick Phiri kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Phiri ameiongoza Simba kushinda mechi tatu za kirafiki lakini hajacheza hata mechi moja ya kimataifa wala kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Gor Mahia ambao waliwahi kufundishwa na Kocha wa zamani wa Simba, Zdravko Logarusic na baadaye Bobby Williamson ambaye sasa ni Kocha wa Harambee Stars, ni moja ya vikosi imara vya Kenya.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic