September 15, 2014


 Baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya QPR ukiwa ndiyo ushindi wake wa kwanza wa Ligi Kuu England, Kocha Louis van Gaal wa Man United aliamua kumfurahisha mkewe.

Van Gaal alimtoa mkewe kwenye mgahawa mmoja maarufu wa jiji la Manchester kwa ajili ya chakula cha mchana.

Mkewe alikuwa anasherekea siku yake ya kuzaliwa, lakini ilipita siku moja kabla na mumewe alikuwa ‘bize’.
Baada ya ushindi huo, alikuwa huru pia kuhakikisha mkewe naye anafurahi.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic