September 15, 2014

 Liverpool inakaribia kupata ruksa ya kuanza ujenzi wa kuuongeza ukubwa uwanja wake wa wa Anfield.

Uwanja huo mkongwe unatarajiwa kuongezwa kutoka watu 44,000 wanaoingia sasa hadi 54,000.
MMOJA WA WATANZANIA WALIOHUDHURIA MECHI NYINGI ZAIDI KATIKA UWANJA WA LIVERPOOL, MUSLEH AL RAWAH AMBAYE NI MMOJA WA WADAU WA SOKA NCHINI NA KIONGOZI WA SIMBA PIA. HAPA AKIWA NA BINTI YAKE KATIKA MOJA YA MECHI ZA LIVERPOOL KWENYE DIMBA LA LIVERPOOL, MWAKA HUU.
Ruksa hiyo inatakiwa kutolewa na kitengo cha usanifu wa majengo ndani ya Manispaa ya jiji la Liverpool.
Imeelezwa hadi kufikia Septemba 23, Manispaa ya jiji kupitia kitengo hicho itakuwa imetoa “go ahead”.
Iwapo itapata ruksa, imeelezwa Liverpool itaanza kazi ya ujenzi kati ya Desemba mwaka huu na Januari, mwakani.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic