September 1, 2014



Wakati leo dirisha la usajili linafungwa, Luis Suarez amerejea Liverpool wakati wenzake wakiwa mazoezini.
Suarez ‘27’ amerejea akiwa na zawadi mkononi, jezi namba 7 ambayo anaitumia kwenye klabu yake mpya ya Barcelona.
Jezi hiyo ameikabidhi kwa nahodha wake wa zamani, Steven Gerrard ambaye aliichukua na kuitupia picha kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic