October 19, 2014

BRUCE.

Kocha Steve Bruce wa Hull City aliwashangaza wengi baada ya kupanda treni na kushika bomba.

Bruce alifanya hivyo dakika chache baada ya Hull City kutoka sare ya mabao 2-2 huku Danny Welbeck akiwa amesawazisha katika dakika ya 90.
SAM ALLARDYCE.
Baada ya hapo, Bruce ambaye ni nahodha wa zamani wa Man United, alikwea treni kwa safari ya Manchester.
Alikuwa akiwahi Manchester kutokana na mwaliko wa sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa kocha mkongwe na maarufu nchini England, Sam Allardyce.
Allardyce  ambaye alikuwa anafikisha miaka  60 sasa anainoa West Ham United.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic