October 19, 2014


Beki wa Chelsea amepiga mechi ya 500 akiwa nahodha wa timu hiyo.

Terry alionekana akiwashukuru mashabiki wa Chelsea kuonyesha wamemuunga mkono hadi kufikisha mechi 500 akiwa nahodha.
Alifanya hivyo mara baada ya game dhidi ya Crystal Palace amvayo Chelsea waliibuka na ushindi.
Terry maarufu kama JT ni mmoja wa mabeki visiki wa Ligi Kuu England na barani Ulaya pia.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic