October 14, 2014

Neymar anaifukuzia rekodi ya gwiji la soka duniani, Pele baada ya kupachika mabao manne katika mechi kati ya Brazil dhidi ya Japan.


Kutokana na mabao yake hayo manne, yamemuwezesha kufikisha mabao 40 katika mechi 58.
Neymar mwenye umri wa miaka 22, anaisaka rekodi hiyo ya mabao 77.
Nyota huyo Barcelona ndiye mwenye nafasi ya kuifikia rekodi ya Pele kwa maana ya wastani.
Kati ya wachezaji wanne waliopiga bao nyingi kwa Brazil ni Pelé (77), Ronaldo (62), Romário (55) na Zico (48).
Neymar anabaki kuwa pekee anayeweza kufikia rekodi hiyo kwa kuwa pekee ndiye anayeendelea kucheza.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic