October 14, 2014


Wachezaji wa Barcelona wamefunga nane ya kimataifa na kutuma salamu kwa Real Madrid.

Washambuliaji hao wote watacheza katika mechi dhidi ya Real Madrid ambao ni Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez.
Neymar ambaye ni nahodha wa Brazil, amefunga mabao manne wakati timu hiyo ilipoigonga Brazil mabao 4-0.
Wakati Messi naye amefunga mabao mawili katika mechi ya kirafiki dhidi ya Hong Kong.
KWa upande wa Suarez akiwa na Uruguay naye amepiga mbili ilipoichapa Oman mabao 3-0.
Hizo ni salamu tosha kuwa fowadi hiyo ni kali na Real Madrid ambao watakutana nao.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic