October 24, 2014


Ushabiki mkubwa wa klabu kubwa mbili za Hispania, Barcelona na Real Madrid, sasa umeingia kwenye sura nyingine.

Mechi ya kesho ya El Clasico sasa imevushwa hadi kwa wanamuziki wawili nyota wanawake.
Jennifer Lopez yeye ni Real Madrid wakati Shakira ni Barcelona.

Jennifer na Shakira ndiyo wamekuwa wakishindanishwa na mashabiki wao na kitendo cha kuwa timu tofauti kimefanya mashabiki wao kuingia kwenye ushindani pia.
Kila upande umekuwa ukitumia picha zao kuzungumzia mechi hiyo.
Katika mitandao ya kijamii, picha zao zimejaa lukuki.
Ushindani wa mechi hiyo, huwa mkubwa kuliko wa nyingine yoyote ya soka duniani.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic