October 23, 2014


Kikosi cha Yanga kimetua mjini Dodoma, tayari kwa mechi moja ya kirafiki.

Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto amesema watacheza mechi moja dhidi ya CDA kabla ya kuendelea kwenda Shinyanga kuivaa Stand United.
“Tumefika salama, tunashukuru hakuna majeruhi na leo jioni tutakuwa na mechi ya kirafiki dhidi ya CDA.
“Halafu kesho tutaendelea na safaru ya masaa sita kwenda Shinyanga kucheza na Stand,” alisema Kizuguto.

CDA zilikuwa moja ya timu kongwe nchini lakini baadaye ikapoteza mwelekeo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic