December 6, 2014

Kocha Carlo Ancelotti yuko katika mazungumzo ya mwisho na klabu ya Real Madrid na imeelezwa amekubali kuongeza mwaka mmoja.


Ancelotti amefanya mazungumzo na Rais wa Madrid,  Florentino PĂ©rez.

Taarifa zinaeleza mkataba mpya wa Anceloti utatangazwa kabla ya mechi ya Kombe la Dunia la klabu itakayopigwa nchini Morocco.


Imeelezwa tayari mkataba huo utakuwa hadi hadi Juni 30, mwakani ingawa kuna juhudi zinafanywa iwe hadi mwaka 2017.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic