December 7, 2014



Mtibwa Sugar imeichapa Simba kwa mabao 4-2 katika mechi ya kirafiki iliyopigwa leo.

Katika mechi hiyo iliyovurumishwa kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar, mechi ilikuwa kali na ya kuvutia.

Hata hivyo, Simba ilionekana kuwa na makosa mengi kwenye ulinzi na hasa kipa Ivo Mapunda na kusababisha kuruhusu mabao hayo manne ya Mussa Hassan Mgosi aliyefunga mawili na Ame Ali.


Mabao ya Simba yalifungwa na Amissi Tambwe pamoja na Said Ndemla.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic