December 7, 2014


Mshambuliaji wa Man City, Sergio Aguero ambaye anaongoza kwa kuwa na mabao 14 katika Premier League alijikuta akimwaga chozi uwanjani.

Aguero alilia kwa uchungu baada ya kutakiwa kutoka nje ya uwanja na daktari wa Man City.

Daktari alichukua uamuzi huo baada ya kuona Aguero alikuwa ameumia goti tena.
Ilikuwa ni ndani ya dakika moja tu katika mechi dhidi ya Everton ambayo iliisha kwa City kushinda 1-0.


Ageuro amekuwa akihangaishwa na maumivu ya goti mara kwa mara.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic