Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm alipiga
picha na shabiki mdogo zaidi wa Yanga katika mechi dhidi ya Azam FC kwenye
Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Pluijm alimshika mkono mtoto huyo
anayekadiriwa kuwa na umri hadi wa miezi nane.
Baada ya hapo kocha huyo alikwenda kuungana
na wachezaji wake uwanjani kabla ya kuanza kwa mechi hiyo iliyopisha kwa sare
ya mabao 2-2.
0 COMMENTS:
Post a Comment