Kocha Carlo Ancelotti wa Real
Madrid amesema timu yake ina nafasi ya kutetea ubingwa wa Ulaya, lakini
akaonya.
Ancelotti raia wa Italia amesema Madrid ina kikosi bora na imara, lakini haiwezi kuwa kila kitu kwao kubeba ubingwa.
“Tuna wachezaji bora
wanaofanya tuwe na kikosi bora. Lakini muhimu sana ni suala la ushirikiano na
tunakwenda vipi.
“Kushinda tena inawezekana,
lakini haitakuwa kazi lahisi na tunajua lazima tupambane. Kila mechi ni uwanja
mpya wa mapambano,” alisema.
0 COMMENTS:
Post a Comment