January 13, 2015


Kocha alikula bonge la mweleka baada ya kupigwa na mpira wa nguvu wakati beki wake akiondosha hatari.
Ilikuwa ni mechi ya Serie A kati ya timu yake ya Inter Milan dhidi ya Genoa.

Kikosi cha Mancini kilimaliza dakika 90 na ushindi wa mabao 3-1.


Beki Nemanja Vidic alifunga bao la tatu likiwa la kwanza kwake akiwa na klabu hiyo aliyojiunga nayo akitokea Manchester United.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic