January 8, 2015


Mtibwa Sugar imetinga fainali baada ya kuing’oa Azam FC kwa mikwaju ya penalti.


Katika mechi hiyo kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar, timu hizo zilimaliza kwa sare ya bao 1-1, Kipre Tchetche akiisawazishia Azam FC Azam katika dakika ya 89. Mtibwa ilianza kupata bao kupitia Shomari Ally katika dakika ya 68.

Mikwaju ya penalti 7-6 ndiyo iliyoing’oa Azam FC baada ya kipa Aishi Manula kukosa.


Kutokana na ushindi huo, Azam FC sasa inaisubiri kati ya Yanga au JKU mechi inayopigwa usiku huu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic