February 13, 2015


Yanga itapata uhakika leo kama itaweza kumtumia nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’.


“Cannavaro hana uhakika mpaka sasa, aliumia goti kwenye mazoezi lakini ameanza mazoezi ya peke yake jana (juzi), lakini huu siyo muda wa kuzungumzia pengo lake, tunao wachezaji wengine wenye uwezo mkubwa,” alisema Pluijm.

Hata hivyo imeelezwa kwamba tayari timu ya tiba ya Yanga ikiongozwa na Dk Juma Sufiani imeanza kushughulikia suala hilo.


Cannavaro ni mhimili wa ulinzi katika kikosi cha Yanga licha ya kwamba ina wachezaji wengi wanaoweza kuziba nafasi hiyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic