February 8, 2015

 Mchezaji Robbie Neilson alijikuta kwenye maumivu makubwa baada ya kulambwa kiatu cha uso kutoka kwa nahodha wa timu ya Livingston, Jason Talbot.

Hiyo ilitokea wakati Livingston ikipambana na Hearts katika Ligi ya Scotland.

 Nicholson alilazimika kupata matibabu na kushonwa nyuzi kadhaa baada ya buti hilo la Talbot.

Walikuwa wanawania mpira wa juu, wakati Neilson akiruka kupiga kichwa, Tailbot alipeleka mguu na kumjeruhi vibaya.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic