February 16, 2015


Mashabiki wa Cologne walifanya vurugu ya aina yake jana baada ya kikosi chao kuchapwa kwa bao 1-0 dhidi ya wapinzani wao wakubwa Borussia Monchengladbach.

Baada ya hapo, mashabiki hao wakiwa wamevalia Kininja, rangi nyeusi na nyeupe, walivamia uwanjani na kuanzisha tafrai.

Mashabiki wa Cologne nao walilazimika kujibu mapigo na kusababisha polisi kuingia.

Lilikuwa zoezi gumu kutokana na mashabiki wa pande zote mbili kuchapana vilivyo.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic