March 31, 2015


Kampuni ya Jaguar Land Rover’s (JLR) imetoa gari jipya aina ya Range Rover linaloelezwa kuwa litawapa wazimu mastaa mbalimbali wakiwemo wa soka na muziki.


Gari hilo lenye thamani ya pauni 150,000 litatumika katika filamu mpya ya James Bond 007 inayojulikana kwa jina la Spectre.

Leo au kesho, gari hilo litaonyeshwa hadharani kwa mara ya kwanza katika maonyesho maalum ya magari jijini New York, Marekani.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic