April 7, 2015


Akiwa na miaka 12, tayari Steven Gerrard alikuwa na ndoto ya kuwa nyota tegemeo wa kikosi cha Liverpool.


Maneno aliyasema alipohojiwa akiwa na miaka 12 katika stori iliyotoka katika gazeti mwaka 1992.

Sasa anaondoka mwishoni mwa msimu huu, miaka 22 baada ya kuitumikia Liverpool. Anakwenda kujiunga na LA Galaxy ya Marekani.
Kuondoka kwake hakuzuii yeye kuwa shujaa wa Liverpool.
Ndoto zake akiwa na miaka 12 katika academy ya Liverpool, zilikamilika kwa kuwa alinuia.


Hili ni somo kwa vijana miaka kumi au chini ya hapo kwamba wanaweza kutimiza ndoto zao na hakuna haja ya kuwa waoga.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic