April 7, 2015

Beki wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher ameendelea kumng’ang’ania kiungo Yaya Toure kuwa ndiye aliiua Man City.


Carragher ambaye sasa ni mchambuzi wa runinga ya Sky Sport ameng’ang’ania kwamba faulo iliyopigwa na Pancheon isingetinga wavuni kama Yaya asingeinama.

Yaya alifunga bao kwa Man City ilipolala kwa mabao 2-1 dhidi ya Crystal Palace na kuyaweka rehani matumaini ya kuutetea ubingwa wa Ligi Kuu England.


Yaya raia wa Ivory Coast aliinamisha kichwa wakati faulo hiyo ikipigwa na ndiyo imekuwa pointi ya Carragher akiamini yeye ameiponza Liverpool.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic