April 25, 2015


Azam FC imeitungua Stand United kwa mabao 4-0 katika mechi iliyopigwa leo kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

Azam FC imeshinda mchezo huo ikiwa inazihitaji mno pointi mno.

Azam FC inahitaji kushinda kila mechi kati ya zilizobaki kwa kuwa inataka ubingwa au nafasi ya pili.

Ilianza kupata mabao yake kupitia kwa Gaudence Mwaikimba na Bryan Mwajegwa katika kipindi cha kwanza.


Mwaikimba akaongeza bao la tatu katika dakika ya 62 kabla ya Farid Malik kufunga la nne katika dakika ya 89.

1 COMMENTS:

  1. Sidhani kama Azam wanaifukuza. Yanga bali wanaikimbia Simba!! Hakuna tena ushindani wa Yanga na Azam maana wanahitaji mechi moja kuwa mabingwa huku wakiwa na 3 mkononi. Ushindani ni kati ya Azam na Simba kwa ajili ya nafac ya pili!! Mapenzi yanaleta shida

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic