April 3, 2015

Mashabiki wa Simba Ukawa wamefariki dunia katika ajali mbaya ya gari iliyotkea leo jioni nje kidogo ya mji wa Morogoro.


Mashabiki wanne wa Simba Ukawa wamefariki dunia na watu wengine wawili walioelezwa kuwa ni abiria pia wamepoteza maisha.
Taarifa kutoka katika eneo la ajali zimeeleza mashabiki hao walikuwa njiani kwenda mjini Shinyanga kuishangilia Simba inayopambana na Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kambarage.
 
Imeelezwa gari hilo aina ya Toyota Coaster limeacha njia ghafla na kuingia porini kabla ya kuanguka.

Baadhi ya majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Morogoro nab ado wanapata matibabu huku mmoja wao akiwa taabani.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic